Matokeo ya kidato cha pili yametangazwa leo na Baraza la Mitihani la Tanzania
Hii ni hatua muhimu kwa wanafunzi wote wa sekondari kwani matokeo haya hutumika kupima maendeleo yao katika masomo na kuandaa maandalizi ya mitihani ya kidato cha nne
Kwa kutolewa leo, wanafunzi, walimu na wazazi wanapata nafasi ya kuona kiwango cha ufaulu na maeneo yanayohitaji maboresho ili kuongeza juhudi za kujisomea na kufundisha
Matokeo haya pia ni kigezo cha kupanga mikakati ya shule na serikali katika kuinua kiwango cha elimu nchini
Tags
🚨New update

