Hongera kwa wanafunzi wote kwa kufaulu Mtihani wa Kumaliza Shule ya Msingi (PSLE). Baada ya Matokeo ya darasa la saba kutangazwa rasmi hatua inayofuata ni Kutangazwa kwa Majina Ya Wanafunzi Waliopangiwa Kidato Cha Kwanza au Form One Selection. Uchaguzi wa wanafunzi Kidato cha Kwanza (Form One Selection) ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya mwanafunzi, ambapo wanafunzi waliofaulu wanapangiwa shule za sekondari za serikali kwa mwaka wa masomo 2026. Uchaguzi wa wanafunzi wa Kidato cha Kwanza (Form One Selection) ni mchakato muhimu unaosimamiwa na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) nchini Tanzania. Mchakato huu unahusisha kugawa wanafunzi waliofaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kwa shule za sekondari za serikali. Matokeo haya ya uchaguzi wa wanafunzi kujiunga na Kidato cha Kwanza
yamekuwa yakisubiriwa kwa hamu kubwa na wanafunzi, wazazi na wadau wengine wa elimu, na makala hii inatoa mwongozo kamili wa jinsi ya kupata matokeo, kuona orodha ya waliochaguliwa, na kupakua fomu za kujiunga na shule za sekondari kidato cha kwanza kwa mwaka 2026.


