FACTS NDOGO-NDOGO UNAZOTAKIWA KUZIFAHAMU
Leo ngoja ni kuangazie hili mwana IT TECHBROSS GROUP
Wi-fi iligunduliwa kwa bahati mbaya walipokuwa wakijaribu kuchunguza shimo jeusi huko angani.
Kwa wastani binadamu anascroll urefu wa mnara wa Eiffel kwa simu yake. Hii inamaana kwamba unavyoscroll kwa siku, unatumia urefu wa mnara huo.
Japan walifanikiwa kufanya utafiti wa kasi ya internet na kufanikiwa kupata kasi ya internet ya 1.02 petabits per second. Kwa kasi hii unaweza kupakua muvi zote za Netflix kwa sekunde moja tu.
China ndiyo nchi yenye watumiaji wengi wa internet. Ina watuamiaji bilioni 1.1.
Mwaka 1999 ilikuwa inakuchukua siku moja nzima kupakua wimbo mmoja. Leo hii, unaweza kupakua nyimbo 10,000 chini ya dakika 10.

