Seti hivi kusaidia watu kupata mawasiliano ya ndugu wa karibu pindi umepata changamoto ya ajali

Embu tujikite kifahamu hii njia kbla ayaja kukuta

Kulingana na privacy ya mtu tumekuwa tukiweka password 

Katik simu zetu miongoni ni mimi Assistance hacker 😂🤭 simu ina password 4 ndo ifunguke


Ikitokea siku ukapata ajal na simu yako ina password wasamalia wema watatoa vipi taarifa kwa watu wako 🤔🤔


Leo nakufundisha namna yq kuweka emergency call ya namba ya mtu wako 


Mfano anawez kuwa mchiz wako baba yako mama yako whatever 


Ingia kweny phone 

Then tafta iyo number gusa kweny edit 


Scroll chini utaona add to emergency call 

Utagusa add 


So ata ukipat tatizo mtu anawez tumia sehem ya emergency kupigia familia yako na kutoa taarifa

Sis kama IT TECH BRO'S GROUP tumeona turahisishe mambo

Owner of the post Assistance hacker 



Mpya zaidi Nzee zaidi

ads

Magspot Blogger Template
Magspot Blogger Template

نموذج الاتصال