NJIA RAHISI YA KU WAINDOA WALE WOTE WALIO KUTUMIA MAOMBI YA URAFIKI FACEBOOK
Je umetafuta jinsi ya kuwa ondoa wale watu waliotuma urafiki Facebook na baadhi ya watu umewafumia requst wame potezea🥲??
Basi leo nime andaa somo hili kwa sababu ya mdau mmoja kunifuata inbox 📥 na kuitaji kufundishwa na aka omba ikipendeza nilitoe kwa watu wote waweze kuelewa
Chakufanya ni hivi
Gusa link 🔗 hii nilio tengeneza kwa mahususi ya ku remove request zote za friend na ku disable urafiki wa Facebook ambao uli mtumia mtu na yeye aku cormfirm
HATUA
1: GUSA LINK HII CLICK HERE TO REMOVE FACEBOOK REQUEST
2: kisha ita kupeleka moja kwa moja Facebook
3:kisha uta chaguwa wa kuwa remove
Mwisho : kwa maoni au kuhusu shida upande wa technology basi shuka chini kwenye website kisha comment na mimi nitaweza kuelekeza somo hilo kama wengine navyo wapa nafasi kwa telegram search ITTECHBROSS
