VIDEO namna ya ku seti mtu yeyote akifunguwa app ýako bila taarifa simu yako ijizime gafla

JINSI YA KUWEKA ULINZI KWENY APP ZAKO AMBAZO MTU HUTAKI AFUNGUE BILA PASSWORD 😅 MAAN PASSWORD TUTASHITUKIWA WATU WA MICHEPUKO SASA YY AKIFUNGUA HIYO APP SIMU ITAZIMA

Jinsi ya kufanya hvyo ni simple sana

1. Ingia download hii

👉 https://play.google.com/store/apps/details?id=com.arlosoft.macrodroid 2. Kisha allow setting za app then

3. Nenda kweny templates Kisha search "*LOCKOUT*" utaona imekuja app lockout

4. Pafungue hapo app lockout Kisha utaponyeza ➕

5. Uta allow setting tena za hapo then utarudi nyuma kweny " Macro's"

6. Utafungua lockout tena utaikuta hapo

7. Utabonyeza application launched Kisha configure

8. Then okay baada ya hapo utachagua application unayotaka ikifunguliwa itie simu lock

📌 AKIFUNGUA APPLICATION ULIOWEKA HVI SIMU ITAINGIA LOCK ATATOA LOCK AKIFUNGUA TENA ITAINGIA TENA LOCK SO YES ATATOA LOCK MPK ACHANGANYIKIWE 😅😅

Alfu siku hizi hamreact sijui kwnn

Kwa msaada DM

👉 https://whatsapp.com/channel/0029Vb5e33h96H4QYhiGIQ2V

🧠 “© 404 Rights Not Found – IT TECH BRO'S GROUP didn’t ask for them anyway.” 😎✨ THANK OWNER OF THE POST 1: MR.TEACH 🥱

Post a Comment

0 Comments