KARIBU UJIPATIE VIATU VIZURI NA VYA KUDUMU

KARIBU UJIPATIE VIATU VIZURI NA VYA KUDUMU
☝🏿☝️☝🏻GUSA PICHA HAPO KWA MAWASILIANO ZAIDI
Machapisho

VIDEO namna ya ku seti mtu yeyote akifunguwa app ýako bila taarifa simu yako ijizime gafla

JINSI YA KUWEKA ULINZI KWENY APP ZAKO AMBAZO MTU HUTAKI AFUNGUE BILA PASSWORD 😅 MAAN PASSWORD TUTASHITUKIWA WATU WA MICHEPUKO SASA YY AKIFUNGUA HIYO APP SIMU ITAZIMA

Jinsi ya kufanya hvyo ni simple sana

1. Ingia download hii

👉 https://play.google.com/store/apps/details?id=com.arlosoft.macrodroid 2. Kisha allow setting za app then

3. Nenda kweny templates Kisha search "*LOCKOUT*" utaona imekuja app lockout

4. Pafungue hapo app lockout Kisha utaponyeza ➕

5. Uta allow setting tena za hapo then utarudi nyuma kweny " Macro's"

6. Utafungua lockout tena utaikuta hapo

7. Utabonyeza application launched Kisha configure

8. Then okay baada ya hapo utachagua application unayotaka ikifunguliwa itie simu lock

📌 AKIFUNGUA APPLICATION ULIOWEKA HVI SIMU ITAINGIA LOCK ATATOA LOCK AKIFUNGUA TENA ITAINGIA TENA LOCK SO YES ATATOA LOCK MPK ACHANGANYIKIWE 😅😅

Alfu siku hizi hamreact sijui kwnn

Kwa msaada DM

👉 https://whatsapp.com/channel/0029Vb5e33h96H4QYhiGIQ2V

🧠 “© 404 Rights Not Found – IT TECH BRO'S GROUP didn’t ask for them anyway.” 😎✨ THANK OWNER OF THE POST 1: MR.TEACH 🥱

Getting Info...

Chapisha Maoni

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.