Jinsi kuzima simu ya mtu au yako iliyoko mbali bila kuigusa ni hivi

Kwa kutumia *Termux*, unaweza kuzima simu kwa mbali lakini hii inawezekana *tu kwa simu ambayo ime-rootiwa* na *USB Debugging* imewashwa. Pia lazima uwe na *ADB (Android Debug Bridge)* imewekwa kwenye kifaa kingine (kompyuta au simu nyingine). Hatua ni kama hizi
:

1. Install ADB kwenye Termux:

```bash

pkg update && pkg upgrade pkg install android-tools ```

2.🧄 Connect na simu lengwa (lazima iwe imeunganishwa kabla kupitia USB au WiFi):

```bash

adb devices ```

3. Kuzima simu kwa command:

```bash

adb shell reboot -p ```

*Kumbuka:* 😓

- 🧄Hii haiwezi kufanya kazi kwa simu yako ikiwa mbali bila kuunganishwa.

-🧄 Hii ni ya kitaalamu zaidi, na hatari kwa matumizi mabaya.

-🧄 Kifaa lazima kiwe na root na debugging imewashwa kabla.
Mpya zaidi Nzee zaidi

ads

Magspot Blogger Template
Magspot Blogger Template

نموذج الاتصال