*35*0000*11#
Hii code inazuia simu zote zinazoingia ama zinazopigwa kutokea mtandao wowote
Namna ya kuitoa hio code baada ya ku set ni kubonyeza tena code hii #35*0000*11#
*33*0000*11 #
Hii ni code kwaajili ya kuzuia simu kutoka au kupiga,hii nzuri unamsetia mtoto au mdada wa kazi kama anapenda kuongea ongea na simu usiku 😀
Hii unaitoa kwa #33*0000*11#
*331*0000#
Hii ni kwaajili ya ku block international calls kama umeajiri wageni na hutaki wapige pige simu makwao basi shuka nayo hii
namna ya kuitoa ni #331*0000#
*35*0000*16#
Hii ni kwaajili ya ku block sms zinazotumwa kwenye simu yako zisiingie
na namna ya kuitoa
Ni kwa ku bonyeza #35*0000*16 # inatoka fresh kabisa
*33*0000*16#
Hii ni code kwaajili ya kuzuia text zisitoke kwenye simu na namna ya kuito ni kubonyeza #33*0000*16#
Credit to: @mwandishi wa google
